Duh!navyojua miezi mitatu ya mwanzo ni kawaida ya watoto wadogo kulia.cha muhimu uhakikishe ameshiba, na kila unapomnyonyesha unatakiwa umuweke kifuani kwako huku umekaa ili gesi itoke, na uhakikishe kwmba nguo zake hazina mikojo.Huyo daktari aliyekushauri kumpa dawa nina wasiwasi na taaluma yake.Hizo dawa ulizompa umemuumiza bure.
Halafu hutakiwi kumpa chakula chochote mbali na maziwa ya mama(exclusive breastfeeding). huu utamaduni wa akina mama kusingizia kwamba mtoto hashibi halafu unampa kitu kingine, unamsababishia maumivu ya tumbo.
Kingine, kama una uwezo kidogo financially, seek advice from a paediatrician.kama uko dar, mwanza, arusha hao madaktari bingwa wanapatikana.Usipeleke mtoto mchanga kwa bora daktari, hasa kwenye vi-dispensary vya uswahilini.wengine sio madaktari, wamevaa makoti tu, watakuumizia mtoto.