YohanaE
Member
- Jul 26, 2012
- 5
- 2
Habari....
Mtoto wangu wa kiume ana miezi 2 toka azaliwe....anasumbuliwa sana na tumbo....wengine wanasema ngiri, wengine wanasena chango....kitovu chake ni kikubwa kiasi (kama golori) lakini ikitokea chango likambana ndo inakuwa kama kinavyoonekana katika picha...na analia sana kwa maumivu makali......naomba msaada/ushauri

Mtoto wangu wa kiume ana miezi 2 toka azaliwe....anasumbuliwa sana na tumbo....wengine wanasema ngiri, wengine wanasena chango....kitovu chake ni kikubwa kiasi (kama golori) lakini ikitokea chango likambana ndo inakuwa kama kinavyoonekana katika picha...na analia sana kwa maumivu makali......naomba msaada/ushauri
