Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Watoto hawahesabiwi bna...kwa sauti hadi majirani wasikie...
Ni mtoto wako wa kwanza?
Dogo anacheka kwa mapoz sanaHaaaaa hadi majirani wapate kicheko
AhahaaaNenda kwenye Setting kisha Restore Factory au Kwenye Audio Profile bonyeza General ataanza kucheka kwa sauti.
Sasa wewe unataka acheke kwa sauti ili nini? Au unataka awe mmbea? Ila kama unataka kulazimisha mwekee subwooferMtoto wangu ana miezi Tisa now alhamdulilah yupo vema
Ila kuna kitu kinanipa hofu,hajui kuongea ila anapenda kuita baba,tata eeh tena kwa sauti kubwa kabisa.
Shida ipo kwenye kucheka akicheka hatoi sauti kabisa inatoka kidoogo hata umtekenye vipi.
Nifanyeje mwanangu acheke kwa sauti hadi majirani wasikie jamani?
Ukiona mtoto anacheka sauti inazidi kupanda ujue kinageuka kilio muda si mkubwa.Watoto hawahesabiwi bna
Ndio mpendwaWa kiume?
Duh! hiyo setting ipo wapi mkuu, au ipo sehemu gani kwenye mwili? Hata mimi kuna vitu nataka nijifanyie settingNenda kwenye Setting kisha Restore Factory au Kwenye Audio Profile bonyeza General ataanza kucheka kwa sauti.
Naona kama ni kawaida,Ndio mpendwa
Vipi akiachia ushuzi sauti inatoka?Dogo anacheka kwa mapoz sana
Ahahaa kipindi nimejifungua maziwa yalikuwa hayatoki so nikawa nampa ya kopo .alikuwa anajamba mtaa mzima ahaa acha tu.siku hizi anapupu pupu tu sana maana anakula kula kama mi maza akeVipi akiachia ushuzi sauti inatoka?
Ahahaa loh sasa analiaje.wa kwangu anatoa sauti sana sema sio kilizi kiivoNaona kama ni kawaida,
Wangu akilia Hatoi sauti
huyu anaongea anaita baba,tataMpeleke hospital asije akawa bubu........... Usipuuze
Basi punguza hofu mwanao atacheka kwa sauti mpk watu wahisi unafuga fisi .Ahahaa kipindi nimejifungua maziwa yalikuwa hayatoki so nikawa nampa ya kopo .alikuwa anajamba mtaa mzima ahaa acha tu.siku hizi anapupu pupu tu sana maana anakula kula kama mi maza ake