Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Mtoto wangu tangu azaliwe sijui ana janga gani alikuwa anapata choo mara moja kwa week nilimuuliza Dokta akasema haina shida sasa hivi ameanza kula misosi bado hapati choo fresh ukizingatia anakula chakula vizuri tu.
Halikadhalika ananyonya,nakablendia vyakula laini,nakapa juice papai likiwepo ,maji kanakunywa,mafuta ya samaki,grape water nayo nampa hana shida yoyote ila natamani mtoto wangu apupu kila siku
Naombeni ushauri
Halikadhalika ananyonya,nakablendia vyakula laini,nakapa juice papai likiwepo ,maji kanakunywa,mafuta ya samaki,grape water nayo nampa hana shida yoyote ila natamani mtoto wangu apupu kila siku
Naombeni ushauri