Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Ana umri gani mtoto wetu?Kamtoy kangu toka kazaliwe sijui kuna janga gani kalikuwa kanapata choo Mara moja kwa week nilimuuliza Dokta akasema haina shida
Sasa hivi kameanza kula misosi bado hakapupu fresh ukizingatia kanapiga menu vizuri tu kama me mama yake.kananyonya,nakablendia vyakula laini,nakapa juice papai likiwepo ,maji kanakunywa,mafuta ya samaki,grape water nayo nakapa.
Hakana shida yoyote ila I wish mtoy wangu apupu daily
Naombeni ushauri
Six monthAna umri gani mtoto wetu?
Ana six monthUmri wake,
Inachukua muda gani hadi kupupu,
Anakula mara ngapi kwa siku,??
Hiyo hali haswa umeanza kuiona lini baada ya kuanza kula misosi ya nguvu??
Mtoy ni mtotoKamtoy ndio jina lake au?
ila kupupu sana napo sio dalili ya afya nzuri...muache tu labda chakula kingi kinaingia mwilini kufanya kazi.
Asante mamy ila kila siku ninampa chungwaMpe juice ya machungwa.. kamua chungwa fresh
Ikiwa vipi.. kazania kurudi kwa daktari wa watoto. Ila wanaweza fikisha wiki au masiku.. jaribu machungwa
Hongera kwa kuwa Mama
Oooh shukrani sana Mkuu umenipa mwanga sana hapo kwenye kunyonyesha namuamisha ziwa fasta fasta tu me nachoka bana kumbe inatakiwa dakika kumi?Kwa mtoto mdogo kupitisha siku 2-3 bila kupata choo si kawaida, kutakuwa kuna shida kidogo.
A) Kwa mtoto anayenyonya.
Unatakiwa ujue kama mtoto ananyonya vizuri, vile vile uzingatie hali ya lishe ya mama kwasababu hiyo ndo huchangia kwenye kutengeneza maziwa ya mama.
Kwa kawaida kiafya mtoto anatakiwa anyonyeshwe dakika 20 ziwa moja. Kwasababu unyonyaji wa mtoto dakika 10 za mwanzo kinachotoka ni maji kwa wingi pasipo kuwa na nutrients za kutosha kwenda kwa mtoto, dakika 10 zinazofuata ndo kunakuwa na nutrients za kutosha.
Akina mama walio wengi hawafuati/hawajui utaratibu huu hivyo kupelekea mtoto kuhamishwa hamishwa manyonyo hata kabla ya dk 10. Hivyo kupelekea mtoto kupata maji ziwa hili na kumalizia kupata maji ziwa lingine, anakosa virutubisho vya kutosha, hivyo kupelekea shida katika upatikanaji wa choo.
Endapo mtoto ananyonya vizuri na tatizo likaendelea kuwepo kuna uwezekano mkubwa kukawa na shida katika mfumo wa chakula (Mara nyingi tumbo linakuwa kubwa na anaweza kupata maumivu makali ya tumbo.
B) Mtoto anatakiwa apewe chakula chenye nyuzinyuzi (fibres) kwa wingi, ambavyo ni pamoja na:-
-Matunda
-Mboga za majani
-Maji ya kunywa ya kutosha.
Inashauriwa mtoto kwenye mwaka 1-2 anywe lita 1.3 kwa siku.
-Vyakula vyenye maji maji.
Hivyo basi jaribu kuangalia wapi haupo sahihi katika lishe ya mtoto ili urekebishe. Endapo tatizo litaendelea jaribu kufika hosp. kwa uchunguzi zaidi.
Sio wewe tu, wamama wengi kwa kutokuwa na elimu juu ya unyonyeshaji wa watoto wamekuwa wakihamisha hamisha watoto toka ziwa moja kwenda ziwa lingine wakifikiri ziwa moja limepungukiwa maziwa hivyo kumbadilishia mtoto ziwa ndani ya muda mfupi sana.Oooh shukrani sana Mkuu umenipa mwanga sana hapo kwenye kunyonyesha namuamisha ziwa fasta fasta tu me nachoka bna.kumbe inatakiwa dkk kumi???
Ila unaona limeisha maziwa kabisa.dkk kumi nyingi sana Mkuu hata mtoto mwenyewe hatonyonya sasaSio wewe tu, wamama wengi kwa kutokuwa na elimu juu ya unyonyeshaji wa watoto wamekuwa wakihamisha hamisha watoto toka ziwa moja kwenda ziwa lingine wakifikiri ziwa moja limepingukiwa maziwa hivyo kumbadilishia mtoto ziwa ndani ya muda mfupi sana.
Kachanga bado Leo ndo kameanza kula etiPendelea Kulisha Lisha Mapapayi Au Juice Yake....!!!
Ila Tangu Uolewe Umekuwa Busy Na Ur Family
Asante mamy ila kila siku ninampa chungwa
Toka azaliwe cocoImekuwa inamtokea hivyo kwa muda gani tangu uanze kugundua?