Mtoto wangu hapati choo vizuri naombeni ushauri

Ila unaona limeisha maziwa kabisa.dkk kumi nyingi sana Mkuu hata mtoto mwenyewe hatonyonya sasa
Nawe pia unatakiwa uzingatie ulaji sahihi ili kutengeneza maziwa kwa mwanao.. Kumbuka kipindi cha unyonyeshaji wa mtoto, mtoto anategemea virutubisho uvipatavyo kupitia aina ya vyakula unavyokula.
Kama kutwa nzima kula yako sio sahihi/huzingatii chakula kitakacho kuwa na faida kwa mtoto, hilo nalo linakuwa tatizo.
 
Mtoto kupitisha hadi siku saba nikawaida
 
Nakula vizuri sana Mkuu .kwenye tumbo sinaga shida
 
Shenzy six month unataka apuu ubongo au nini? Acha mtoto akue na chakula kitumike...Kwa umri huo hata asipo puu week mbili ni poa tu.... Halafu mbona kama unampa mavyakula magumu wakati bado umri????
Ahahaaa
Chakula gani nimempa kigumu na wewe?
 
Asante itanifaa siku za usoni
Elimu haina mwisho
 
Ana six month
Akipupu jpili mpaka ijumaa au jpili tena
Ana siku tatu anakula tu sioni choo
Ni kawaida kwa watt wanaokua na kuanza kula vyakula vingine nje na maziwa ya mama tu
Ktk umri huo tumbo la mtoto huwa linachukua virutibisho vingi kuingia mwilini tofauti na alipokuwa umri wa chini ya miezi miwili alikuwa anapoop many time per day hata mara tu baada ya kumaliza kumnyonyesha.
Ni mabadiliko ya kawaida na anaweza pata kitu inaitwa constipation kwa kua ndy kaanza kula vyakula mchanganyiko lkn cha muhimu zingatia kama ambayo aliyokushauri mdau kuhusu lishe kwa mtt na unyonyeshaji muhimu sana.lkn ukiona inazidi siku zinasonga muwahishe hosp upate msaada na ushauri zaidi kutoka kwa wataalamu wa watt.

Note;
>A newborn baby, from day 5 or 6 of living, may poop after every feeding.
>At 1-month-old, the average is still some 4 times per day.
>By the time your baby is 2 months old, the average has dropped to 1 time per day.
>At 3 months, a fully breastfed baby may go for up to 10 or 14 days without pooping. They grow rapidly and digest practically everything they consume.

Wasi wasi ndy akil.
 
Asante mkuu
 
Reactions: mg4
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…