Unataka aweke mchanga kwenye kitumbua chake?MTOZI!
Ni mda muafaka sasa wafuatao waalikwe kwenye kipindi chako ili uwasukumie maswali.
Hao watu ni mhimu sana kuwapanga kwenye vipindi vyako vya mijadala. Hata kama unawagwaya
- Wabunge 19
- Spika
- Mahera
- Waziri wa Sheria
- Msajili wa Vyama
- Takukuru
- Katibu wa Bunge
- Mwanasheria wa Serikali
Hapana jamaa anajitahidi sn anauliza maswali magumu hata kipindi cha dikteta walijitahidi sn ndiyo maana tangu enzi ya dikteta mpaka leo hakuna mtu yoyote aliyeteuliwa kutoka star tv, kwangu mimi huyu ni mwandishi bora kabisa pamoja na Dotto Bulendu, wengine wote ni wasaka fursaMTOZI!
Ni mda muafaka sasa wafuatao waalikwe kwenye kipindi chako ili uwasukumie maswali.
Hao watu ni mhimu sana kuwapanga kwenye vipindi vyako vya mijadala. Hata kama unawagwaya
- Wabunge 19
- Spika
- Mahera
- Waziri wa Sheria
- Msajili wa Vyama
- Takukuru
- Katibu wa Bunge
- Mwanasheria wa Serikali
Wanaishi maisha ya kitumwa snHawataenda wanajua kabisa once wakianza kuingia kwenye media wataatract public inquiry kuhusu legality yao na huo ndio utakuwa mwisho wao.
Wameamua kuwa mute angalia siku hizi wanavyopigwa mawe bungeni na hawajibu kitu maana wanajua wakileta fyoko mkeka utachanika.
Hata mh. Rais SSH, atuwekee wazi ile ripoti ya ukaguzi BOT.MTOZI!
Ni mda muafaka sasa wafuatao waalikwe kwenye kipindi chako ili uwasukumie maswali.
Hao watu ni mhimu sana kuwapanga kwenye vipindi vyako vya mijadala. Hata kama unawagwaya
- Wabunge 19
- Spika
- Mahera
- Waziri wa Sheria
- Msajili wa Vyama
- Takukuru
- Katibu wa Bunge
- Mwanasheria wa Serikali
MTOZI!
Ni mda muafaka sasa wafuatao waalikwe kwenye kipindi chako ili uwasukumie maswali.
Hao watu ni mhimu sana kuwapanga kwenye vipindi vyako vya mijadala. Hata kama unawagwaya
- Wabunge 19
- Spika
- Mahera
- Waziri wa Sheria
- Msajili wa Vyama
- Takukuru
- Katibu wa Bunge
- Mwanasheria wa Serikali
Mkuu, nyie CHADEMA mna mambo ya ajabu sana. Mmeambiwa tena na tena - ili suala la akina Mdee lihitimishwe, hitimisheni mchakato wa kuwafukuza uanachama. HAMTAKI kufanya hivyo kwa makusudi. Halafu unataka kipindi cha maana cha Nyanda kipoteze mda kwa kujadili suala kama hili ambalo nyinyi mmeamua liwe ndiyo agenda yenu ya kudumu kwa vile mmeishiwa hojaMTOZI!
Ni mda muafaka sasa wafuatao waalikwe kwenye kipindi chako ili uwasukumie maswali.
Hao watu ni mhimu sana kuwapanga kwenye vipindi vyako vya mijadala. Hata kama unawagwaya
- Wabunge 19
- Spika
- Mahera
- Waziri wa Sheria
- Msajili wa Vyama
- Takukuru
- Katibu wa Bunge
- Mwanasheria wa Serikali