DreezyD98
JF-Expert Member
- Nov 6, 2020
- 1,610
- 2,874
Kijana mmoja kaskazini mwa Msumbiji ambaye alidhaniwa kuwa amefariki dunia na ambaye mazishi yake yalifanyika mwezi Novemba ametokea kijijini kwao Lindi.
Jumuiya inamtaja Eurélia Manuel Benjamim kama mtu aliyefufuka kutoka kwa wafu, lakini anasema alikuwa ameenda tu kufanya kazi katika shamba la mjomba wake kwa miezi michache.
Msimamizi wa eneo katika wilaya ya Montepuez aliambia mtangazaji wa serikali: “Walifanya sherehe zote za mazishi - mazishi, sherehe ya siku ya tatu na kutembelea kaburi - na kaburi halijavunjwa.”
Kikosi cha wataalamu kinatumwa Lindi kufanya uchunguzi ili kuona ni nani au nini kilizikwa kaburini.
Source: BBC SWAHILI
Jumuiya inamtaja Eurélia Manuel Benjamim kama mtu aliyefufuka kutoka kwa wafu, lakini anasema alikuwa ameenda tu kufanya kazi katika shamba la mjomba wake kwa miezi michache.
Msimamizi wa eneo katika wilaya ya Montepuez aliambia mtangazaji wa serikali: “Walifanya sherehe zote za mazishi - mazishi, sherehe ya siku ya tatu na kutembelea kaburi - na kaburi halijavunjwa.”
Kikosi cha wataalamu kinatumwa Lindi kufanya uchunguzi ili kuona ni nani au nini kilizikwa kaburini.
Source: BBC SWAHILI