matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Mara ya kwanza kufika nilipelekwa Magogoni 'Striti', kisha baharini kushangaa baharini, kisha kadaraja ka Manzese.
Njoo ushauri watu machimbo ya kushangaa hasa sisi wa Miji kasoro Dar.
Njoo ushauri watu machimbo ya kushangaa hasa sisi wa Miji kasoro Dar.