Mathias_95
Member
- Apr 17, 2021
- 26
- 88
Hivi kuna watu wana vibamia kweli??Kama kuna mtu ambaye amewahi kutibiwa tatizo la maumbile madogo ( kibamia) na akapona anisadie pia na mimi nipate tiba
Tafadhari kama kuna mwenye uhakika na sehemu panapotolewa tiba ya uhakika anielekeze nami nikatibiwe
Kwa asiye na uhakika anaweza kuniweka wazi pia ili kuniepusha na gharama
Sifurahishwi za reply za aina hii, sometimes it's better kunyamaza ukiona ishu inayoongelewa huielewi ama haikuvutii kuliko kuweka kejeli.Sababu ya kutafuta tiba ni nini?
Sawa kama wewe umehisi hilo ndo tatizo basi nashukuru kakaTatizo vijiwe na kulala na malaya kunawaponza ila kama wewe ni rijali basi hata ikiwa fupi akili tu anaridhika
Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Asante sana nashukuruHivi kuna watu wana vbamia kweli??
Ikisimama urefu ni nchi 3.7+Ina urefu gani ikiwa
A. Imelala?
B.Imesimama?
C.Kipenyo?
Jua hivyo kabla ya kuamua huo uamuzi......maana unaweza kuta iko sawa kabisa.
Si nyie wenyewe mnataka kubwa [emoji1787]Sababu ya kutafuta tiba ni nini?
kwa urefu huo kipenyo chake kitakuwa kama maka penIkisimama urefu ni nchi 3.7+
Kipenyo ndio bado sijui namna ya kupima bu ni nyembamba somehow
Asante sanakwa urefu huo kipenyo chake kitakuwa kama maka pen
Kwa hapo unajitaftia shurba bwanamdogo, tafuta bikra uoe.Ikisimama urefu ni nchi 3.7+
Kipenyo ndio bado sijui namna ya kupima bu ni nyembamba somehow
Bro, kwanza inaonyesha hii hali imeakuathiri.Sifurahishwi sa replay za aina hii, sometimes it's better kunyamaza ukiona ishu inayoongelewa huielewi ama haikuvutii kuliko kuweka kejeli.
Samahani sana kama nimekukwaza but naomba ukaushe basi ndugu yangu
Sawa kabisaHuu uzi kama hauendi na picha ni batili [emoji4][emoji4][emoji4]