DZUDZUKU
JF-Expert Member
- Nov 8, 2012
- 3,909
- 2,115
Habari wandugu,
Mie nnaswali moja, hivi mtu anaedhaniwa kuwa ni jambazi ni mtu wa aina gani hasa?
Mtu amekutwa eneo la tukio akifanya wizi, anauawa na wananchi baadae vyombo vya habari vinaripoti "mtu alie dhaniwa kuwa ni jambazi ameuawa" Inakuwaje huyu mtu aliekutwa kwenye wizi akawa anadhaniwa kwa wizi?
Nawasilisha.
Mie nnaswali moja, hivi mtu anaedhaniwa kuwa ni jambazi ni mtu wa aina gani hasa?
Mtu amekutwa eneo la tukio akifanya wizi, anauawa na wananchi baadae vyombo vya habari vinaripoti "mtu alie dhaniwa kuwa ni jambazi ameuawa" Inakuwaje huyu mtu aliekutwa kwenye wizi akawa anadhaniwa kwa wizi?
Nawasilisha.