muuliza swali yafaa kujua kwamba, sheria za makosa ya jinai katika mazingira ya kujitetea, mambo yafuatayo yazingatiwe
1. nguvu unayotumia iwe sawa na nguvu inayotumika kukushambulia
2. sira aliyotumia kumshambulia adui yako iwe ni siraha ambyo hukufuata mbali bali ni silaha ambaya ulikuwa nayo mokoni
mwako
3. eneo utakalo mdhuru liwe nikuanzi kiunoni kwenda miguuni , pia muwe ni watu mnaonesha mlitazamana nasiyo umpige risasi kisogoni au eneo lolote la nyuma
4. kama ni siraha, basi siraha hiyo iwe imesajiliwa kisheria naumeilipia leseni
5.kuna kitu kinaitwa "necessity and proportionalty use of force" hii ni kanuni ambayo unapaswa kuizingatia sana.