Pastor Achachanda
JF-Expert Member
- May 4, 2012
- 3,023
- 1,315
Kwa mfano polisi wanakupa visago na kwa kujitetea kumbe una kisu. Ukamchoma akafa huku Ukiwa katika jitihada za kujitetea. Je kisheria utahesabika kama muuaji au mtu aliyejihami?Au sheria itakuita shujaa? Au ni ruksa upigwe bila kujitetea?
Mathalani nimekutana na PANYA ROAD 20 wana visu bisibisi pangaz na mimi nina bastola. Wskanizingira na kuanza kunishambulia. Nikiua baadhi hapo nitahukumiwa kuua?
Kisheria utakuwa umeua bila kukusudia. Hukumu yake ni miaka kadhaa jela(sio kifungo cha maisha na wala sio kunyongwa). Kesi yake mara nyingi inachukua muda kidogo lakini unaweza kupata dhamana.
muuliza swali yafaa kujua kwamba, sheria za makosa ya jinai katika mazingira ya kujitetea, mambo yafuatayo yazingatiwe
1. nguvu unayotumia iwe sawa na nguvu inayotumika kukushambulia
2. sira aliyotumia kumshambulia adui yako iwe ni siraha ambyo hukufuata mbali bali ni silaha ambaya ulikuwa nayo mokoni
mwako
3. eneo utakalo mdhuru liwe nikuanzi kiunoni kwenda miguuni , pia muwe ni watu mnaonesha mlitazamana nasiyo umpige risasi kisogoni au eneo lolote la nyuma
4. kama ni siraha, basi siraha hiyo iwe imesajiliwa kisheria naumeilipia leseni
5.kuna kitu kinaitwa "necessity and proportionalty use of force" hii ni kanuni ambayo unapaswa kuizingatia sana.