Mtu asiye Mbunge anaweza kuadhibiwa na Kamati ya Maadili ya Bunge?

Mtu asiye Mbunge anaweza kuadhibiwa na Kamati ya Maadili ya Bunge?

Verifier

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2019
Posts
457
Reaction score
1,514
Naomba kuuliza! Mh. Spika anapomuita mtu kwenye ile kamati yake "Maadili na Hadhi Bunge", huwa ni adhabu gani inaweza tolewa kwa mtu ambaye siye mbunge?
 
Back
Top Bottom