Mtu asiye mtanzania anaruhusiwa kumiliki ardhi?

housegirl

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2014
Posts
3,125
Reaction score
2,192
Na wala haishi Tanzania.

kama kuna conditions, ni zipi?
 
Hawezi kumiliki kama yeye. Ila anaweza kupata aridhi kwa kipindi na kwa matumizi maalum ya uwekezaji kupitia Kituo cha uwekezaji tanzania kwa mfumo unaoitwa "derivative rights".
 
Hapana mtu ambaye siyo mtanzania haruhusiwi kumiliki ARDHI.Bali anaweza kupewa ardhi kwa lengo la uwekezaji kupitia kituo cha uwekezaji Tanzania TIC.
 
Haruhusiwi kumiliki Ardh labda kwa ajili ya uwekezaji tu, Chini ya Sheria ya Ardh YA Mwaka 1999 kifungu cha 19 na 20. Pia Kesi ya Shaffiq dhiyyeb v PSRC ina msimamo huo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…