Je, mtu ambaye hajawai kabisa kucheza wala hajui chochote kuhusu mpira wa kikapu (basketball) [emoji459] anaweza kujifunza mpaka akawa mchezaji bora wa mchezo huu?
Pia ni qualifications gani mtu anatakiwa awe nazo ili aanze kujifunza mchezo huu kwa lengo la kuwa mchezaji?