Naren
JF-Expert Member
- Apr 22, 2016
- 692
- 428
Habari wanajamii,
Naamini humu kuna madaktari wazuri tu. Kuna swala linanishangaza tena sana, yaani inakuaje mtu kazaliwa mbantu kabisa "mweusi asili" na baada ya miaka kadhaa( takr. 35) anabadilika kabisa na kuwa mweupe sio weupe usawa wa mzungu bali weupe huu tuliouzoea kama wakichaga ama nyaturu. Sio mtumiaji wa vipodozi wala madawa ya ngozi kiasi kwamba huwezi kumkumbuka kama ulikutana nae miaka aliyokuwa mweusi, hii hali inaitwaje na inasababishwa na nini?
Mazingira: DSM
Mlo: mchanganyiko wa vyakula vinavyopatika DSM, alcohol (mtumiaji), sigara(sio mtumiaji), madawa(sio mtumiaji)
Organ transplant: never
Aina ya kazi:sedentary
Nikifahamu zaidi kuhusu hali hii ntashukuru!
Naamini humu kuna madaktari wazuri tu. Kuna swala linanishangaza tena sana, yaani inakuaje mtu kazaliwa mbantu kabisa "mweusi asili" na baada ya miaka kadhaa( takr. 35) anabadilika kabisa na kuwa mweupe sio weupe usawa wa mzungu bali weupe huu tuliouzoea kama wakichaga ama nyaturu. Sio mtumiaji wa vipodozi wala madawa ya ngozi kiasi kwamba huwezi kumkumbuka kama ulikutana nae miaka aliyokuwa mweusi, hii hali inaitwaje na inasababishwa na nini?
Mazingira: DSM
Mlo: mchanganyiko wa vyakula vinavyopatika DSM, alcohol (mtumiaji), sigara(sio mtumiaji), madawa(sio mtumiaji)
Organ transplant: never
Aina ya kazi:sedentary
Nikifahamu zaidi kuhusu hali hii ntashukuru!