Mtu kuficha "last seen info" kwenye Whatsapp... Swali...

Mimi last seen nimeiacha ili mda mwingine ifikishe ujumbe kwa watu ambao sina mzuka nao pindi wanapotuma msg afu sijibu kwamba sitaki kuchat nao so mtu anayejielewa akiona hivo anachapa yebo kimyamya though wapo wasiojua kusoma alama za nyakati wanaganda ka ruba.
 
Naenjoy sana hizi feature ya kuficha Last seen status, profile picture na WhatsApp status, Last Seen sitaki kabisa ionwe na mtu yeyote kwanza na mimi sitaziona za watu wengine, hii inanipunguzia stress za kujibu message maana wengine usipojibu ontime hata kama alichokutumia ni nonsense inakua tatizo, picha na status hivyo nmeweka vionwe na contacts nilizosave, hivyo ukitaka kunispy kwa kuniangalia kwenye whatsapp wakati mi sina contact yako obvious utaona blank tu.
 

safi uko makini ndugu
 

siyo lazima anayenighasi awe mpenzi wangu.........

hata humu jf mara nyingi tumeshaona kuna watu watajifanya wanakufahamu kuanzia nje mpaka ndani ilihali huyo mtu hata pm hamjawahi kutumiana........

kukata mzizi wa fitina hebu niambie ni nini umuhimu au faida ya last seen?
 

kwahili mkuu naona tutatofautiana tu ,,,,,,, whether nafanya yanayopaswa au sifanyi ........ to me wakati mwingine mood yangu haziniruhusu kujibu maswali ya mara kwa mara ambayo hayajengi chochote zaidi ya kukwazana.........

last seen haina kazi kwangu , kwani hata sitaki kuona last seen ya mtu mwingine kwasababu hainihusu......... na its very ok with me kumuachia mtu hewani msg blindly.

mbona mawasiliano mengine hayana last seen na tunawasiliana vizuri tu?
 
Unajua nafsi zina tafsiri pana sana. Kuna watu hapa jf wameshajengea id zao "nafsi" fulani... japokuwa najua hakuna mtu anamjua nje ya jf... lakini humu humu ana ka-dunia kake kenye hadi familia...
So anaweza kukosa uhuru...

mtu anaanzaje kukosa uhuru humu ndani labda
 

Duh... Kumbe hata JF kuna "Last Seen". :doh: :doh:
 
Last edited by a moderator:
mtu anaanzaje kukosa uhuru humu ndani labda

Kwa mfano hupo huru kuchangia point fulani kisa tu "fulani" asikufikirie namna gani vipi...
Wakati huyo fulani mnajuana id kwa id tu...
 

Bottom line is that it shouldn't be an issue to be open about anything for the one you love.
 
siyo lazima anayenighasi awe mpenzi wangu........

hata humu jf mara nyingi tumeshaona kuna watu watajifanya wanakufahamu kuanzia nje mpaka ndani ilihali huyo mtu hata pm hamjawahi kutumiana........

In this context I have no argument and I'm very much in agreeance with you.

To act like you know somebody when you don't know diddly-squat about them is the epitome of imbecility.

kukata mzizi wa fitina hebu niambie ni nini umuhimu au faida ya last seen?

Kwenye muktadha wa uhusiano wa kimapenzi umuhimu wake ni kujali. Mtu anayekupenda lazima atataka ajue kinachoendelea.

Na kama kweli sina cha kuficha basi wala sitasumbuka au kukereka kwa yeye kutaka kujua.

Hata zile kero tunazozipata kwenye viwanja vya ndege huwa ni kwa manufaa yetu sisi wasafiri. Sasa unapoona mtu hataki kutoa ushirikiano ilhali pia ni kwa usalama wake wake lazima bendera zipepee.....
 
Hii ya invisible mode sidhani kama inahusika na kumficha mwenza wako chochote maana ukianzisha mada au ukichangia kwenye mada mchango wako utaonekana kwa wote.

In that case then spouses have no right to privacy between themselves?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…