Ndo kinini hiko
hahaha afu wewe ujue uko wanted
Haa nimeiba?
Common sense would dictate that to be the case.
Kwa sababu, kama kweli huna cha kuficha na hufanyi lolote baya kwa nini ufiche fiche hiyo 'last seen'?
subiri ukamatwe utajua nini mbaya lol
Kuna haja gani ya yeye kujua mida unayoingia na kutoka?
Ni dalili ya kukosa uhuru?
Common sense would dictate that to be the case.
Kwa sababu, kama kweli huna cha kuficha na hufanyi lolote baya kwa nini ufiche fiche hiyo 'last seen'?
Aah wapi Niko strongo
question.Kwa sababu, kama kweli huna cha kuficha na hufanyi lolote baya kwa nini ufiche fiche hiyo 'last seen'?
Labda tuanzie nyumbani, I mean hapa hapa JF.
Kwenye Login & Privacy Settings za JF kuna kitu kinaitwa Invisible Mode ambapo unaweza ku-set Invisible Mode on na Invisible Mode off.
Invisible mode inakuwezesha kubrowse, kuanzisha threads na ku-post bila kuonekana kama uko online.
Baadhi ya members wame-set invisible mode. Kwa kufanya hivyo ni dalili za kukosa uhuru pamoja na kuwa watu hao wanatumia anonymous ID?
Kama hufanyi lolote baya kwa nini uone tabu kuulizwa maswali na mwenzio? Manake kama kweli hufanyi ambayo hutakiwi kufanya basi hata majibu ya maswali uulizwayo yatakuwa consistent, utayajibu kwa kujiamini, hutakuwa defensive, na hutatafuta lame excuses.
As simple as ABC or 1,2,3.....
Labda tuanzie nyumbani, I mean hapa hapa JF.
Kwenye Login & Privacy Settings za JF kuna kitu kinaitwa Invisible Mode ambapo unaweza ku-set Invisible Mode on na Invisible Mode off.
Invisible mode inakuwezesha kubrowse, kuanzisha threads na ku-post bila kuonekana kama uko online.
Baadhi ya members wame-set invisible mode. Kwa kufanya hivyo ni dalili za kukosa uhuru pamoja na kuwa watu hao wanatumia anonymous ID?
Tena umetaja ulipo... utafuatwa huko huko strongo
Haja ni kujua uko wapi, uko na nani, na unafanya nini.
Sasa kuna ubaya gani mwenza wako akijua hayo?
kabiisaaaa. unanidai likes..
leo hadi nimekupenda bureee
sasa mkuu Tuko mbona naambiwa kama naficha last seen yangu sitaweza kuona za wengine pia!
Usisahau kunigongea basi utakapo pata wasaa wa kutumia PC.