mtu kupata kichefuchefu hasa kila baada ya mlo

zaka

Member
Joined
Mar 8, 2012
Posts
30
Reaction score
3
ndugu wana jamvi naomba msaada ninajisikia hali ya kutapika kila baada ya kula, tatizo nini hasa?
 
kama wewe ni wakiume mkuu itakuwa ni minyoo,nilikiwa na tatizo kama lako wiki mbili zilizopita but baada ya kutumia dawa ya minyoo hali imekuwa shwari,kama ni wakike kacheki mimba mkuu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…