Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,587
Salam ndugu zangu.
Kuna mtu unamkuta mchafu, nguo chafu, anakolala kuchafu, meno machafu, anapenda kukaa sehemu chafu, anapenda kula kitu kichafu, anapenda kuoga maji machafu, masikioni mchafu, manywele machafu nk ni kwamba inamtokea automatically anajikuta mchafu au ni maamuzi tu kwamba ngoja niwe mchafu ?
Karibuni!
Kuna mtu unamkuta mchafu, nguo chafu, anakolala kuchafu, meno machafu, anapenda kukaa sehemu chafu, anapenda kula kitu kichafu, anapenda kuoga maji machafu, masikioni mchafu, manywele machafu nk ni kwamba inamtokea automatically anajikuta mchafu au ni maamuzi tu kwamba ngoja niwe mchafu ?
Karibuni!