Mtu maarufu...

ngoshwe

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2009
Posts
4,131
Reaction score
937


Kwa taaluma yake kama Mwanasheria Mahiri, hakusoma alama za nyakati, alitumia muda mwingi , wadhifa wake na mamlaka ya Dola kuwashuhulikia wenzie, ahajua nini kitatokea kwake ( Mzee Mengi nanamfahamu vizuri, Mhe. Mbubge wa sasa wa Nyamagana nae anamfahamu, baadhi ya CCM waliohusika katika kura za maoni wanamfahamu sana tu jinsi alivyowarusha posho zao, na aliyekuwa Mtangazaji wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Jerry Muro anayajua haya Jerry Muro asema Lawrence Masha alimtishia - Wavuti )!!!.


Aliwahi kuyasema haya kwa Mbwembwe:

Nyamagana MP Lawrence Masha speaks (MichuziBlog) - YouTube
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…