Mtu miyeyusho kuliko wote hapa JF

nilitegemea hili....he he he...
hakuna wayeyushaji humu JF kama Tanmo, Mtu chake na Ndallo....
hii thread ifungwe tu maana hakuna anayewazidi hawa......


hujasikia kama mshindi atapata zawadi? Unavyokataa wewe si miyeyusho huoni kama unaikataa zawadi ambayo kimsingi unahistahili?
 
Mi sijaelewa miyeyuko kwa namna gani?????
Hebu fafanua vema
 
nilitegemea hili....he he he...
hakuna wayeyushaji humu JF kama Tanmo, Mtu chake na Ndallo....
hii thread ifungwe tu maana hakuna anayewazidi hawa......


Kwikwi kwikwi kwikwi heeeeeh!
Wakuoneona bure Preta yaani jinsi ulivyohamaki nimejua wewe si myeyushaji.

Halafu kipimo cha uyeyushaji ni nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…