Mtu mmoja auawa kwa kupigwa risasi huku magari yakichomwa moto kutokana na maandamano

Mtu mmoja auawa kwa kupigwa risasi huku magari yakichomwa moto kutokana na maandamano

Nyendo

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2017
Posts
1,336
Reaction score
4,731
Mtu mmoja ameuawa kwa kupigwa risasi na Polisi wakati wa maandamano nchini Kenya huku magari matatu ya Polisi yakichomwa motO na wananchi.

Maandamanano hayo yanaongozwa na kiongozi wa upinzani nchini humo Raila Odinga yakiwa na lengo la kupinga uongozi wa Rais William Ruto.

Raila Odinga anatarajiwa kuongoza mkutano katika eneo la Kamukunji leo licha ya Polisi kupiga marufuku mkutano na maandamano hayo.
1689161353100.png
Several businesses closed in Machakos as anti-government protests continue
F01aQrxXwAAbiof.jpg

F01aNd0WwAA3gRL.jpg

F01aLTCWIAAFBuq.jpg

F01aHBiXwAIARUb.jpg
 
Odinga ni mlafi sana wa Madaraka, Siasa kwake ni uchochoro wa kujinufaisha bila kufikiria maslahi mapana ya taifa, Watu wa design yake huwezi ku deal nao kwa Demokrasia, anatumia udhaifu wa demokrasia ili kujinufaisha yeye na kikundi chake.
 
Odinga ni mlafi sana wa Madaraka, Siasa kwake ni uchochoro wa kujinufaisha bila kufikiria maslahi mapana ya taifa, Watu wa design yake huwezi ku deal nao kwa Demokrasia, anatumia udhaifu wa demokrasia ili kujinufaisha yeye na kikundi chake.
huyu babu anatakiwa atandikwe sana mpaka asahau kwao anaivuruga kenya wala haijengi
 
Odinga ni mlafi sana wa Madaraka, Siasa kwake ni uchochoro wa kujinufaisha bila kufikiria maslahi mapana ya taifa, Watu wa design yake huwezi ku deal nao kwa Demokrasia, anatumia udhaifu wa demokrasia ili kujinufaisha yeye na kikundi chake.
Ni mlafi wa madaraka kama CCM walivyo walafi
 
Huyo Raila Odinga alisema kesho Wote msipige mswaki asee wakenya watafyata..... mwingine aliwambia wafunge Hadi wafe na wakafa kweli....Hawa jamaa ni binadamu mbegu Gani?
 
Wamesadikika watu sita wamepoteza maisha yao kwenye Maandamano yanayoendelea nchini Kenya.

E mola utunyooshee ya nchi yetu
 
Uoga ni mwingi bongo ndio maana serikali inaendesha nchi itakavo tu .
Nani kakwambia mamia ya waandamanaji wote ni wajinga au hawana la kufanya ndo watoke waandane ?
Pale wana issues ambazo zimewatoa sema uaribifu wa Mali siiungi mkono.
Ila kuona wakiandamana eti hawana akili ama wameshikwa akili watu wote hao it's a misconception.
Bongo tumesalia kuwa keyboard warriors tukazoeleka na walio mamlakani .
Leo Toka umkashifu rais huku ,utafinywa kupindukia Jambo ambalo Kenya hamna ,kwa hilo wale wangwana nawaheshimu
 
Back
Top Bottom