Mfanyakazi Bora
Member
- Jul 31, 2024
- 11
- 21
Habari za majukumu wakuu?
Natumaini mko salama. Ningeomba msaada wenu wa hali na mali katika kunisaidia kupata nafasi yoyote ya kazi. Nina imani kuwa kwa msaada wako, nitapata nafasi itakayoniwezesha kutumia uwezo wangu na kuchangia kwa mafanikio ya mtu binafsi, shirika au kampuni yoyote.
Mimi ni mtu mwaminifu, mbunifu, na mwenye bidii kubwa katika kazi. Kwa sasa ninaishi Moshi, lakini niko tayari kufanya kazi katika mkoa wowote ambapo nafasi itapatikana.
Sifa Zangu:
Mawasiliano: 0621903381
Nitashukuru sana kwa yoyote atakae nisaidia kufanikisha hili.
Natumaini mko salama. Ningeomba msaada wenu wa hali na mali katika kunisaidia kupata nafasi yoyote ya kazi. Nina imani kuwa kwa msaada wako, nitapata nafasi itakayoniwezesha kutumia uwezo wangu na kuchangia kwa mafanikio ya mtu binafsi, shirika au kampuni yoyote.
Mimi ni mtu mwaminifu, mbunifu, na mwenye bidii kubwa katika kazi. Kwa sasa ninaishi Moshi, lakini niko tayari kufanya kazi katika mkoa wowote ambapo nafasi itapatikana.
Sifa Zangu:
- Umri: Miaka 26
- Elimu: Diploma katika Teknolojia ya Ufugaji Samaki (Aquaculture Technology)
- Uwezo wa kutumia kompyuta kwa ufanisi
- Leseni ya udereva
- Uwezo wa kuzungumza na kuandika Kiingereza kwa ufasaha
- Uwezo wa kujifunza na kuendana na mazingira mapya kwa haraka
- Uzoefu wa miaka 3 katika kusimamia na kuendesha miradi ya ufugaji samaki na mifugo
- Uzoefu wa mwaka 1 kama msimamizi wa bar (Bar Manager)
- Uzoefu katika masoko na mauzo (Marketing and Sales)
- Uzoefu katika utengenezaji wa maudhui mtandaoni (Content Creator)
Mawasiliano: 0621903381
Nitashukuru sana kwa yoyote atakae nisaidia kufanikisha hili.