Mc2nyi
Senior Member
- Nov 5, 2013
- 191
- 189
Him: *Akielekezea bunduki kichwani*
Me: “Mungu wangu, tafadhali usiniue, chukua chochote unachotaka usiniue tafadhali“
Him: “Niulize swali lolote ambalo unahisi sitaweza kulijibu ama sivyo nakuua“
Me: “….. sikuelewi ...“
Him: “ACHA KUJIFANYA HUELEWI, ULIZA MS***E WEWE!”
Me: “Okay, okay.”
Him: “…….”
Me: “hm.. Okay Nina swali. Ni nani aliiba pochi yangy mwaka juzi?“
Him: “Kaka yako.”
Me: “Hahahaaaaa, sio kaka yangu. Kwa taarifa yako sina kaka na wala pochi yangu haikuibiwa. Mama aliichukua na kuificha wakati anafikiria kununua vitu vingi. Nimekuweza wewe ms***e!”
Him: “Hapana, nimekuweza wewe, mimi ni geniuos. ”
Me: “eti… nini?”
Him: Akiunguruma kwa sauti ya hasira “Sikusema jibu liwe sahihi.”
Me: “……”
Him: “Kwa heri kilaza wewe.”
Me: “Owh.. Ms***e wewe”
PAAAAAAAAAAAAAAAAAAA!!!!!
Me: “Mungu wangu, tafadhali usiniue, chukua chochote unachotaka usiniue tafadhali“
Him: “Niulize swali lolote ambalo unahisi sitaweza kulijibu ama sivyo nakuua“
Me: “….. sikuelewi ...“
Him: “ACHA KUJIFANYA HUELEWI, ULIZA MS***E WEWE!”
Me: “Okay, okay.”
Him: “…….”
Me: “hm.. Okay Nina swali. Ni nani aliiba pochi yangy mwaka juzi?“
Him: “Kaka yako.”
Me: “Hahahaaaaa, sio kaka yangu. Kwa taarifa yako sina kaka na wala pochi yangu haikuibiwa. Mama aliichukua na kuificha wakati anafikiria kununua vitu vingi. Nimekuweza wewe ms***e!”
Him: “Hapana, nimekuweza wewe, mimi ni geniuos. ”
Me: “eti… nini?”
Him: Akiunguruma kwa sauti ya hasira “Sikusema jibu liwe sahihi.”
Me: “……”
Him: “Kwa heri kilaza wewe.”
Me: “Owh.. Ms***e wewe”
PAAAAAAAAAAAAAAAAAAA!!!!!