Consult a Gyne specialsit pale muhimbili au Mikocheni.
Mbona ni suala dogo tu hilo. Hata daktari wa kawaida tu ( I mean a MEDICAL OFFICER [MD]) anaweza kumsaidia. Kwa nini atumie pesa nyingi kwa consultation ambayo at the end ataishia kupata ushauri na siyo dawa. Na akipatiwa dawa ujue kuna uwezekano mkubwa wa kuwa dawa hiyo imetolewa kwa lengo la kupata pesa tu!!!!!
Mwambie asome, au soma kwa ajili yake www.wooomb.org.
Best regards from CHE GUEVARA-II (MD)
Asante mkuu ngoja nisome kwa ajili yake nipate kumpa niliyoyapata.
Angalia tu usibebe yote, anweza akachanganyikiwa au anaweza asielewe kitu!!!!!
Da! nimesoma mpaka sasa mimi sijaelewa kitu.Pamoja na ma-illustrations kibao but daa! mbona ngumu. Nimeelewa kidogo sana mfano kuna wakati ovulation inatokea wakati period hazijaisha. Kuna hiyo kujichunguza mucus etc da! itabidi nisome mara nyingi nyingi. Kwa kiwango chake cha elimu nafahamu hataelewa ndio maana nimechukua jukumu la kumsomea lakini hata mimi sielewi mara moja. Itabidi kurudia rudia kusoma maana hii Billings ovulation method si mchezo. Facts about fertility nimeelewa lakini sasa kusoma hii kitu na ku-relate na tatizo lake bado sijapata mwanga. Infact average length cycle yake ni siku 45 sasa naona huku imeishia 35. Kifupi sielewi ndugu yangu
Kwa kawaida mzunguko wa hedhi wa mwanamke huambatana na ute wa aina mbalimbali, kuna unaonata na mzito, na mwingine mweupe kama ule ute mweupe wa yai la kuku, ute huu una vutika (elastic), huu ndo ute unaoambatana na uzazi, ute huu husaidia mbegu za kiume kusafiri na kukutana na yai la kike kwa ajili ya kufanya urutubisho, kwa hiyo inabidi kuwa makini na ute wa aina hii kama mtu anataka kupata ujauzito. Kwa maana nyingine ukiona ute kama huu ndo muda muafaka wa kupata mtoto.
Uko sahihi mamakunda.
ANGALIZO: Watu wengi huwa wanachanganya sana katika suala hili la ute; siyo lazima ute uonekane kwa macho na kwa maana hiyo ute huo siyo lazima uvutike kama ute wa yai. It needs at least 5mg of mucus for sensation and 10mg to be sticky and 40mg to be visible and hence stretchy.
Here is one of many refences: www.woomb.org/omrrca/BOMvCrMS.pdf (page 3)
Asanteni kwa majibu ambayo mmeshanipatia mpaka sasa Mamakunda na Guevara. Sasa kama kujua ute ni ngumu maana sio lazima kuonekana kwa macho au ku-realise unavutika kwa mantiki hiyo unaweza ukawepo na asijue! Ngoja nirifae link ulonipa nisome pole pole nielewe labda naweza kupata jibu
Another thing irregulur periods kwani haitibiki? maana nafikiri ni rahisi kupata mtoto mtu akiwa na regular periods unless otherwise.
Kama kuna mtu hapa JF mwenye ushuhuda na hii case ya irrregular periods but akafanikiwa kupata watoto .....share the experience with us please.
mA
Majibu ya maswali yako yamo kwenye website hiyo (au uan-surf internet kupitia Internet cafe?. Kama unatumia internet freely why don't you read then?!!!)
There is nothing wrong with irregular periods and in this way you/ your colleague will end up with being given hormonal contraceptives, particularly pills to regulate periods which is WRONG!!!
I have taken you to the river but I can't force you to drink!!!
Trudy ushuhuda upo sana tu ila sidhani kama kulikua na swala la kuhesabu siku!Afanye mapenzi tu itakapokamata inakamata!Sorry sio ushauri wa kitaalamu ila kama mtu hana matatizo ya uzazi sioni kwanini ajipe stress za kuhesabu siku badala ya kuacha mambo yatokee naturally!
Nimekusoma mpendwa!Wasikilize wataalamu wa kuhesabu...oh alafu samahani kwa kuchakachua jina lako!stressza kuhesabu ilikuwa kwasababu mume wake sasa hivi anafanya kazi mkoa mwingine kwahiyo wanaonana weekend tu huwa anakuja ijumaa na kuondoka jumatatu asubuhi au jumapili. Sasa kwasababu ya irregularities ya periods anashindwa kujua siku gani yuko fertile kwa jinsi alivyonieleza so nikasema nije jamvini ntakalopata namfikishia.
Nimekusoma mpendwa!Wasikilize wataalamu wa kuhesabu...oh alafu samahani kwa kuchakachua jina lako!
Da! nimesoma mpaka sasa mimi sijaelewa kitu.Pamoja na ma-illustrations kibao but daa! mbona ngumu. Nimeelewa kidogo sana mfano kuna wakati ovulation inatokea wakati period hazijaisha. Kuna hiyo kujichunguza mucus etc da! itabidi nisome mara nyingi nyingi. Kwa kiwango chake cha elimu nafahamu hataelewa ndio maana nimechukua jukumu la kumsomea lakini hata mimi sielewi mara moja. Itabidi kurudia rudia kusoma maana hii Billings ovulation method si mchezo. Facts about fertility nimeelewa lakini sasa kusoma hii kitu na ku-relate na tatizo lake bado sijapata mwanga. Infact average length cycle yake ni siku 45 sasa naona huku imeishia 35. Kifupi sielewi ndugu yangu