Mwalimu wa Zamu Tz
JF-Expert Member
- Jan 2, 2021
- 1,053
- 2,757
Habari wakuu,
Natanguliza Pole kwa wahanga wa Ajali ya Treni uko dodoma! Kwa wenye uelewa naomba afafanue mtu sio kiziwi ila tu anaUpungufu wa kusikia kwa kiasi flani mtu uyu anaweza kukidhi vigezo vya kupata Leseni ya Udereva wa Gari??
Kwa nchi zingine ipo leseni maalum kwa watu kama awa ata Trafik akimsimamisha akiona iyo Leseni anagundua sijui apa TZ utaratibu wa kundi ili la watu upoje!
Wasalaaam.
Mitano tena.
Natanguliza Pole kwa wahanga wa Ajali ya Treni uko dodoma! Kwa wenye uelewa naomba afafanue mtu sio kiziwi ila tu anaUpungufu wa kusikia kwa kiasi flani mtu uyu anaweza kukidhi vigezo vya kupata Leseni ya Udereva wa Gari??
Kwa nchi zingine ipo leseni maalum kwa watu kama awa ata Trafik akimsimamisha akiona iyo Leseni anagundua sijui apa TZ utaratibu wa kundi ili la watu upoje!
Wasalaaam.
Mitano tena.