marandu2010
JF-Expert Member
- Aug 7, 2010
- 1,201
- 446
habari wakuu,
naomba mnisaidie mawazo ya jinsi ya kuifanya biashara ya duka la vitu mbalimbali kwa kumwajiri mtu mwingine bila yeye kukuibia,,ni swali ambalo mimi linaniumiza kichwa,,maana wengine huweka vitu vyao na kuviuza wakikwambia biashara ngumu.
naomba mtu mwenye uzoefu wa kuanya biashara hii kwa kumwajiri mtu mwingine anisaidie jinsi anavyofanya,,ikumbukwe mimi niko mbali na nimebanwa na shughuri nyingine na siwezi kuwa natembelea kule mara kwa mara.pia nimeamua kuifanya biashara hii kutokana na vile ujazo wa mfuko wangu kuwa ni mdogo.
natanguliza shukrani zangu kwa wakuu watakaonisaidia katika hili.
naomba mnisaidie mawazo ya jinsi ya kuifanya biashara ya duka la vitu mbalimbali kwa kumwajiri mtu mwingine bila yeye kukuibia,,ni swali ambalo mimi linaniumiza kichwa,,maana wengine huweka vitu vyao na kuviuza wakikwambia biashara ngumu.
naomba mtu mwenye uzoefu wa kuanya biashara hii kwa kumwajiri mtu mwingine anisaidie jinsi anavyofanya,,ikumbukwe mimi niko mbali na nimebanwa na shughuri nyingine na siwezi kuwa natembelea kule mara kwa mara.pia nimeamua kuifanya biashara hii kutokana na vile ujazo wa mfuko wangu kuwa ni mdogo.
natanguliza shukrani zangu kwa wakuu watakaonisaidia katika hili.