Maji hunywewa kulingana na Uzito
Sasa Tufanye Mahesabu kidogo.
Mfano: Mwenye uzito wa 75kg
¤Badili 75kg kwenda kwenye Aunsi.. Na aunsi 1=31.25 ml
sasa kupeleka kwenye Aunsi zidisha 75 mara 2.2
75x2.2=165 aunsi
¤Tafuta nusu ya Aunsi kwa kugawanya na 2
165/2 ambapo ni sawa na 82.5
¤Sasa gawanya kwa Mfululizo utakaotaka kuufuata Kunywa Maji kwa Siku. Kama ni Mara 3,5,au 8 sasa Tuchukue mfululizo wa Mara 8. 82.5/8 sawa na 10.3 aunsi
¤Badili Aunsi kuwa Miligramu
1Aunsi=31.25
10.3 x 31.25=322Ml
Kwahiyo mwenye Uzito wa 75kg anatakiwa kunywa Maji 322ml Mara 8 kwa Siku.
GOOD LUCKY.