Usijali Antonio ikitokea tukaonana itakuwa zaidi ya dakika chacheItakua bora tukiweka mipango ya kuonana japo ata kwa dk chache joanah
njoo na waletiNije na wallet au niiache?
tutaonana mkuu usijalShunie,
Evelyn Salt,
Miss Natafuta,
Miss Chaga
InshaAllah ipo siku tutaonana tuUkhty[emoji173]
Faiza foxty
Mello
sasa kwa taarifa yako hana msambwanda wala nn,ni kembambaaaMiss Natafuta huyu mtu mpaka nahisi kupagawa kwa taswira niliyomuwekea kichwani mwangu.
nani? cocochanel au?mi nataka yule makonda oyeee nimtie makofi saba ya fasta
duh umestaafu mapema mno...ukiwa na nguvu na taifa linakuhitaji,vikorea navyo vipi ,vizuri?nshastaafu,labda tuongelee vikorea