Hahaahaaa......[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Mke wa Mganga umemsahau.....
Basi ngoja nirushe ndoana naweza kuambulia sato[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] maana yaliyomo yananiacha mdomo wazi...Hahaahaaa......[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Ndugu mjumbe, una visa sana wewe....
Usinitafutie kurogwa mie...tehteehh
Lakini jana mke wa mganga alitangaza mubasahara kuanza maisha mapya
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha. UwiiiiiihBasi nikajua akisha nitaja, atajibu PM yangu....[emoji29] [emoji29] [emoji29]
Hivi kwanini huwa hamvutiwi na mimi....[emoji29] [emoji29]Ha ha ha ha ha ha ha ha ha. Uwiiiiiih
Hamna baba sio hivyoHivi kwanini huwa hamvutiwi na mimi....[emoji29] [emoji29]
Basi sawa.....Hamna baba sio hivyo
Naisubiria bado...sijakata tamaaMkuu, PM yangu umeiona...[emoji39] [emoji39] [emoji39]
Hata PM yangu haionekani....!!!???Naisubiria bado...sijakata tamaa
πππavatar baba!Hivi kwanini huwa hamvutiwi na mimi....[emoji29] [emoji29]
Kweli chief, hii avatar nimegundua inaniangusha sana humu jamvini. Yaani watoto wote hawanizimii kabisaaaa....πππavatar baba!
Mtoe huyo raia aisee... Maana watu washazoea hata wanapoiona tu hiyo picha hata kwenye Watsapp wanavuta picha ya Ushimen πππKweli chief, hii avatar nimegundua inaniangusha sana humu jamvini. Yaani watoto wote hawanizimii kabisaaaa....
Duhhh......Mtoe huyo raia aisee... Maana watu washazoea hata wanapoiona tu hiyo picha hata kwenye Watsapp wanavuta picha ya Ushimen πππ
Usiogope Mkuu nimetolea tu mfano!Duhhh......
Iliwahi kutokea kwenye group la whatsap...!!??
[emoji12] [emoji12] [emoji12]Usiogope Mkuu nimetolea tu mfano!
NimekuPm nawe ili TUonaneSawa nakusubiri uniPM
Hapo sawa ngoja nianze mazoezi kwanza[emoji23] [emoji23]NimekuPm nawe ili TUonane
Mazozi ya nini tena mwifwa unantisha woiiiπ±πππHapo sawa ngoja nianze mazoezi kwanza[emoji23] [emoji23]