[emoji4]
Shedede je?
Oooh
hahaha ukiona hivyo ujue wanakujuaSigh...of all 145 replies in this thread no one mentioned my name?
You guys don't want to meet me in person?
shikamoo rogieYaani hata wewe hujanitaja....😡😡😡
[emoji4] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]Nilijua tu nimemwandika lee maksudi
Mi senior bachelor.....kwani mmeo atakuwepo.....eleweka bibie...jitoe kimasomaso..........onja ingine....hata kuonana pia nimeghaili haiwezekani mkuu mm nina mume
unaenda wapi tena[emoji4] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Hivi umepata ujumbe wanguunaenda wapi tena
Umemsahau Chiefmtz1. Mshana JR.
2.Max Macello.
Ni matamanio yangu Siku moja nikutana na hawa watu na kubadilishana nao Mawili Matatu.
Ww unatamani Ukutanae na Mwa JF Yupi. ?
Nyani Gabu, the Bold na Tifa, Ontario, Max Shimba na Melo
Thankx [emoji38]Super woman 2,shez very cute uyu na Arabian Queen
Mmh kutoka kwa nani cuzooHivi umepata ujumbe wangu
Ukutane na mamsap wangu ili iwe nini?Mimi napenda kukutana na Bibi kifimbo cheza(Faiza foxy)
[emoji9] soon utaniona wala usjal1. Yule jamaa alipiga mil.19 kwa mda mfupi
2. Arabian Qeen
3. Yule jamaa akitabiri mechi inakuwa hivyo