hazole1
JF-Expert Member
- Jan 3, 2015
- 4,319
- 3,916
Sheria ni kama mchezo flani hivi wa akili.
Kwanza wanakuambia.
hakuna ushahidi ambao umewahi kukamilika 100%
Na hata kama ushahidi wako ulikamilika kwa 90% na ile 10% iliyobaki inaweza kumpa ushindi mwenzio na tena akakufungulia kesi ya madai ya kumzalilisha.
Na hicho ndicho kinacho wapa ujeuri mawakili wengi sana. na kila wakili utakaye mfuata atakuambia hamna kesi ambayo inaweza kumshinda kwasababu huwa wanajua hamna ushahidi ambao unakamilika 100%
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza wanakuambia.
hakuna ushahidi ambao umewahi kukamilika 100%
Na hata kama ushahidi wako ulikamilika kwa 90% na ile 10% iliyobaki inaweza kumpa ushindi mwenzio na tena akakufungulia kesi ya madai ya kumzalilisha.
Na hicho ndicho kinacho wapa ujeuri mawakili wengi sana. na kila wakili utakaye mfuata atakuambia hamna kesi ambayo inaweza kumshinda kwasababu huwa wanajua hamna ushahidi ambao unakamilika 100%
Sent using Jamii Forums mobile app