Mtu ukimkaribisha chakula akisema Asante anamaanisha nini anakuja kula au?

Mtu ukimkaribisha chakula akisema Asante anamaanisha nini anakuja kula au?

YEHODAYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2015
Posts
36,902
Reaction score
52,001
Wataalamu wa kiswahili nisaidieni kwa hili mtu unamkaribisha chakula halafu anasema Asante.Anamaanisha nini anakubali kula au vipi?
 
Wataalamu wa kiswahili nisaidieni kwa hili mtu unamkaribisha chakula halafu anasema Asante.Anamaanisha nini anakubali kula au vipi?
mtu akikuamkia ukiitika marahaba unamaanisha nini? kwann ukienda chooni unafunga mlango wakati unachokifanya kinafahamika na kila mtu anafanya.
soma social constractivism vizuri
 
Inaamaanisha ame-appriciate ukarimu wako.
Sasa linabaki swala la njaa binafsi.
Kama ana njaa anakuja kupiga kitu kama hana atakausha
Inategemea na aina ya chakula..kuna vyakula vingine hata kama umeshiba unagonga tu
 
Kukaribishwa haimaanishi kuwa njoo ule. Huo ni ustaarabu tu, Na yule anaekaribishwa kwa uungwana wake anasema asante.
 
Back
Top Bottom