Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kapigwa na kitu kizitoUnaweza usimuelewe mswahili mtu ulikuwa unaingiza zaidi ya figures nane then Leo unashindwa hata kuanzisha biashara ya mil 100 .
Hakika mswahili habebeki bora USAID ifutwe mbaya zaidi ukupenda kujichanganya na watu SAD.
Unaweza usimuelewe mswahili mtu ulikuwa unaingiza zaidi ya figures nane then Leo unashindwa hata kuanzisha biashara ya mil 100 .
Hakika mswahili habebeki bora USAID ifutwe mbaya zaidi ukupenda kujichanganya na watu SAD.
Unagawa spana?Ebu tulia Kwanza
Figure nane una manisha 10M plus?Unaweza usimuelewe mswahili mtu ulikuwa unaingiza zaidi ya figures nane then leo unashindwa hata kuanzisha biashara ya mil 100.
Hakika mswahili habebeki bora USAID ifutwe mbaya zaidi ukupenda kujichanganya na watu SAD.
HahahaMboona kama mnatusumanga et, kwani sisi si watanganyika wenzenu??
Hii mambo itatikisa mpk familia zenu pia maana tulikuwa tunahonga hao babies wenu wanawasaidia kodi na mboga mboga mkiwa huko majumbani kinyonge hamna ramani😂😂
Figa 8 ndio kuanzia 10 million mpaka 99 million watu walikua wanakunja USAID kila mwezi, usishangae wewe una figa 4/5Figure nane una manisha 10M plus?
Tz tuna shida kubwa sana kama ni kweli
Mtu hawi maskini kwa kumsema mtu vibaya wala hawi tajiri kwa kumsema mtu vizuri.Kufurahia anguko la mwenzako ni ishara ya roho mbaya na uchawi....!!
Haijalishi mtu alkuwa wa namna gan kama hakuwahi kutndea ubaya kufurahia anguko lake hakutakusaidia ktu au shda ni kwann alkuwa akipokea pesa zaidi yako masikini tutaendlea kuwa masikini tuh kwa roho za namna hiii
Watamchukia Trump sanUnaweza usimuelewe mswahili mtu ulikuwa unaingiza zaidi ya figures nane then leo unashindwa hata kuanzisha biashara ya mil 100.
Hakika mswahili habebeki bora USAID ifutwe mbaya zaidi ukupenda kujichanganya na watu SAD.
Kila mwenye mtaji/pesa nchi hii anapaswa kuanzisha biashara? Huu ujinfa ndio unafanya watu wafilisikUnaweza usimuelewe mswahili mtu ulikuwa unaingiza zaidi ya figures nane then leo unashindwa hata kuanzisha biashara ya mil 100.
Hakika mswahili habebeki bora USAID ifutwe mbaya zaidi ukupenda kujichanganya na watu SAD.