allantence JF-Expert Member Joined Oct 4, 2012 Posts 353 Reaction score 301 Jul 25, 2013 #1 wakuu Naomba kuuliza ,je tunaposema mtu wa miraba minne tunamaanisha ni mtu wa aina gan? Nawasilisha.
wakuu Naomba kuuliza ,je tunaposema mtu wa miraba minne tunamaanisha ni mtu wa aina gan? Nawasilisha.
Askari Kanzu JF-Expert Member Joined Jan 7, 2011 Posts 4,596 Reaction score 1,234 Jul 26, 2013 #2 Ni mtu mwenye misuli mikubwa (haswa inayotokana na kufanya mazoezi kama ya kunyanyua vyuma n.k). Hiyo misuli ndio inamfanya mtu aonekane kama ana miraba vile. Nawasilisha.
Ni mtu mwenye misuli mikubwa (haswa inayotokana na kufanya mazoezi kama ya kunyanyua vyuma n.k). Hiyo misuli ndio inamfanya mtu aonekane kama ana miraba vile. Nawasilisha.