Mtu wa second selection anaweza kuchaguliwa kwanza?

imanmull

Member
Joined
Sep 12, 2014
Posts
30
Reaction score
3
Jaman naomben kuuliza inawezekana mtu wa second selection akachaguliwa ..frst selection alio chagua kwenye kujaza vyuo
 
Na kuna mtu kaenda kulekebisha tatizo lake juz .. alikua hajamalizia aplication anaweza akawa selected frst batch
 
hawezekani first batch ilishapelekwa kwa vyuo husika na ingine vimeshaa anza kutangaza.
 
kwa mujibu wa updates toka tcu inawezekana ila uwe na div ya ukwel

acha kudanganya!umeshaambiwa kuna first na second batch,first walishachaguliwa muda mrefu,second ndio wamechaguliwa wiki hii,ni vitu viwili tofauti vitatoka pamoja lakini vinatenganishwa ili ionekane second batch ni vijana waliokosa umakini katika selection.
 
first ni kwa wale waliokuwa makini kufuata maelekezo na kufanya machaguo sahihi. second na nyinginezo zitakazokuja ni kwa wale waliofany machaguo sahihi lkn hawakuchaguliwa kutokana na nafasi, pia wale ambao hawakufanya machaguo sahihi na wale ambao hawa kumaliza process ya admission.
 
Second batch ni kwa ajili ya vijana wasio makini katika kufanya maamuzi sahihi.
 

Wewe ni mbulula huna lolote unalolijua
 
jaman kama kuna m2 ana updates za mzumbe,nit na ardhi anidokezee wameshatoa list ya selected students?
 
duhh... kaz kwel kwel eti wamekosa umakini!!! ni comptation kaka.
 
Inawezekana kutokana na Tangazo la Tcu lililotaka baadhi ya vyuo kuongeza nafasi katika baadhi ya course,
Jaman naomben kuuliza inawezekana mtu wa second selection akachaguliwa ..frst selection alio chagua kwenye kujaza vyuo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…