Mtu wa second selection anaweza kuchaguliwa kwanza?

duhh... kaz kwel kwel eti wamekosa umakini!!! ni comptation kaka.

kukosa umakini naimanisha walio wengi walijaza bachelor nzito tupu bila kuangalia tokeo lake lakini pia watu awakuwa makini kupitia profile zao kuangalia competition na kuupdate kwa kubadilisha na tcu wametupa muda mrefu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…