Mtu wenu huyu hapa...

Wee nawe bana...unapoteaga halafu ukirudi unarudigi na vijimambo...
 
Huyu anaweza akawa anahusiana na ile kesi ya rada,huyu mu Austria ni middle man wa silaha ambaye ni corrupt.
 
Gt unapenda habari zilizoelea juu juu
 
dah!..
kidume ulipotea kweli kweli
 
GT
nipo hewani pls lete ishu ya nyuma ya pazia ya huyu mndago
 
Huyo ndiyo GT, msomaji maarufu wa gazeti la Rai.
 
Sijaelewa ina maana jamaa anaisaidia Tz kwa kupitia Ubalozi wa Tz Uk au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…