CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,872
- 9,263
Mtu yoyote yule anaweza kuwa Mjasiriamali mwenye mafanikio makubwa na hii itawezekana tu endapo utainisha matatizo ya Jamii na kuyapatia ufumbuzi na baada ya hapo jamii itakuletea pesa kwa wewe kutatua changamoto zao na hapo utakuwa tajiri.
Kinacho takiwa ni kutafuta wapi kuna tatizo na kulitatua.
Achana na habari hizi make hazitajufikisha popote pale belive or not;
- Nimehamasishwa
- Nimevutiwa
- Nimependa sana
- Tumeambiwa
- Tumeshauriwa
- Nimeona
Nimesikia
Wewe jikite kufanya kile ambacho kwa wengine watabakia kushangaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kinacho takiwa ni kutafuta wapi kuna tatizo na kulitatua.
Achana na habari hizi make hazitajufikisha popote pale belive or not;
- Nimehamasishwa
- Nimevutiwa
- Nimependa sana
- Tumeambiwa
- Tumeshauriwa
- Nimeona
Nimesikia
Wewe jikite kufanya kile ambacho kwa wengine watabakia kushangaa.
Sent using Jamii Forums mobile app