CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,872
- 9,263
Mbona naona contradiction hapa? Hayo uliyoyataja hapo juu ni lazima moja lifanyike ndio ufanye kitu tofauti. Wapi wanaingia kwenye ujasilimali au business kwa njia mbalimbali. Kufanya kitu unique ni lazima uwe na passion au udevelop passion na hicho kitu vinginevyo you wont go anywhere!Mtu yoyote yule anaweza kuwa Mjasiriamali mwenye mafanikio makubwa na hii itawezekana tu endapo utainisha matatizo ya Jamii na kuyapatia ufumbuzi na baada ya hapo jamii itakuletea pesa kwa wewe kutatua changamoto zao na hapo utakuwa tajiri.
Kinacho takiwa ni kutafuta wapi kuna tatizo na kulitatua.
Achana na habari hizi make hazitajufikisha popote pale belive or not;
- Nimehamasishwa
- Nimevutiwa
- Nimependa sana
- Tumeambiwa
- Tumeshauriwa
- Nimeona
Nimesikia
Wewe jikite kufanya kile ambacho kwa wengine watabakia kushangaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
lazima uone contradiction haya mambo ni magumu kidogo.Mbona naona contradiction hapa? Hayo uliyoyataja hapo juu ni lazima moja lifanyike ndio ufanye kitu tofauti. Wapi wanaingia kwenye ujasilimali au business kwa njia mbalimbali. Kufanya kitu unique ni lazima uwe na passion au udevelop passion na hicho kitu vinginevyo you wont go anywhere!
Sent using Jamii Forums mobile app
Yarahisishe basi twende sawa
Kwann bosi embu tupe mawazo yakoSidhan kama upo sahihi sana hata kwa 1%