Funguka....tunakusikilizaUmenikumbusha wakati flani hiv
Mawifi wanataka mpododo![emoji1]Funguka....tunakusikiliza
Mie ndio nitakaye ishi naye daima Na milele.
kwa hiyo maswala ya sijui hawe mzur awe na shepu...awe na mpododo...awe na mpwedede...
Hasiwe flat screen awe na chogo...
Hayo mambo ni ya kwetu siye waoaji nyie mpokeeni tu hivyo alivyo ndio nishampenda sasa..
MAWIFI MNAZINGUA......afu utakuta wenyewe hata huo mpododo wahawana ha ha ha ha