Mtuhumiwa Rodrick Wilbroad Shio

inaitwa harnesing of chance...?
 
Huyu Jamaa mi nimesoma nae Old Moshi mwaka 2005. Jamaa alikuwa baunsa kama jambazi fulani..ila sina uhakika maana yeye alikuwa anaitwa RODRICK SHIO
 
huyu jamaa ameuza sura gazetini na kwenye TV vibaya mno........Shio kajifungia zake kiboshooo anapata mbege taratibu kwenye nyumba ya udongo.....balali-style....mtamsikia kwenye bomba tu...huyu mchaga atakuwa na IQ kubwa kweli........kawashinda mapolisi wote?.......watangaze reward ya million kama 100 hivi muone kama hajapatikana,watu tuna njaa.
 
yanini kumchoma kijana wa watu,
mihela mingapi inaibwa nchi hii na watu wanakula bata
kama kawaida mtaani, sembuse huyo alowaibia akina mthung u.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…