Mtuhumiwa wa mauwaji ya padri zanzibar awachiwa huru kwa upungufu wa ushahidi.

Mtuhumiwa wa mauwaji ya padri zanzibar awachiwa huru kwa upungufu wa ushahidi.

altaaf

Senior Member
Joined
Sep 15, 2009
Posts
189
Reaction score
67
Omar Mussa Makame leo hii ameachiwa huru mahakama kuu mjini Zanzibar baada ya kusota gerezani kwa miezi kadhaa leo hii ameachiwa huru na kuungana na familia yake na marafiki zake baada ya kukosekana ushahidi wa kumtia hatiani.

kama tunakumbuka kesi hii inasemekana alitupiwa kwa utashi wa kisiasa zaidi na sio kidini kama ilivyoletwa na aliekua mkuu wa polisi zanzibar kamishna Mussa ambae kwa sasa amepoteza nafasi yake ya ukamishna na kupewa dhamana nyengine. tukio hili lilileta jazba kubwa hasa kwa waumini wa dini ya ukristo

. 1523693_662510390466137_465665217_o (1)ri.jpg.
 
Mmmh! Labda habari njema au habari vyema!

Ila tunapoelekea kuna mambo hayataepukika, hata mtu umlishe bomu, nini vitisho!!
 
Ilianza kwa ulimboka mkenya akabambikiwa, leo ya padri inafata ya mvungi.
 
kesi iliyokuwa ina mkabili tangu mwanzo iliashiria tu ataachiwa , wewe unamtamfuta mtu kwa kumchora
 
Kwa nchi kama tanzania hakuna mhalifu anakamatwa. Airikali imapoteza pesa chungu nzima kuweka watu mahabusu kwa dhulma sijui wataenda kuaema nini kwa mungu
 
Back
Top Bottom