Mtukufu rais amemaliza kuzindua miradi na viwanda?

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Tulisha zoea kumuona mtukufu rais akiwa anazindua miradi na viwanda live kwenye TV, sikuhizi hatuyaoni haya. Hii inamaanisha awamu ya tano tumemaliza uzinduaji.

Inawezekana tunawasubiri Arab constructions watukkabidhi bwawa letu la umeme. Lakini UNESCO wameamua kutuwekea kiwingu.

Mtukufu rais tunafarijika tukikuona hasa sisi wakulima wa korosho.
 
Rais ameshamaliza ku direct dhamira yake kazi imebaki kwetu sisi ukubali kufa maskini au uwekeze tufikie uchumi wa Kati..wewe kalia umbeya hapa jf Ila wenye Nia Safi wako site huko wakitengeneza miradi Zaid mingi TU kwa kuwa fursa zipo, umeme upo hakuna Tena urasimu..hapa kazi tu
 
Nahisi hata mtoa maada yupo kwenye site yake akifanya yamupasayo kufanya…

Turudi kwenye maada, ufunguzi umeisha?
 
Huwezi kumaliza siku bila kumkejeli Rais?
 
Bado vinajengwa vikikamilika vita funguliwa..Nimeamini ukimchukia mtu utamsema kwa kila namna zuri litakuwa baya ili mradi ulidhishe moyo
 
Ukimchukia mtu anazidi kufanikiwa, nchi ni yetu sote, viwanda vitasaidia jobless wengi waliopo mitaani including your relatives. Hatuna sababu ya kubeza...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…