Jamani wadau nimekuwa nikijiuliza mara zote kwa nini sisi waislamu huwa katika sala zetu tunasisitizwa kumuombea mtume kwenda peponi badala ya yeye kutuombea?
Jamani wadau nimekuwa nikijiuliza mara zote kwa nini sisi waislamu huwa katika sala zetu tunasisitizwa kumuombea mtume kwenda peponi badala ya yeye kutuombea?
ukitaka kujua ujinga wa binadamu upo hapo yaan mtu achaguliwe na mungu bado ninyi mnamwomba mungu wake huyohuyo ampeleke peponi ningesikia na sisi wakristo tunamuombea paulo, petro na akina yohana nisingekuwa na dini kabisa.