A
Anonymous
Guest
Kumekuwa na kero Halimashauri ya jiji la Ilala kitengo cha Ardhi kinachosababiswa na huyu mtumishi mmoja
Huyu mtu amekuwa akitumika kwa maksudi kuminya haki za Wananchi kupata Hatimiliki.
Amekuwa akishirikiana na maeneo ya upimaji ambayo baadhi yake yanamilikiwa na walimu wake waliomfundisha huko Chuoni.
Baadhi ya kampuni anazokingia kifua ni KMM. Ambalo lilikusanya ukusanyaji wa pesa za wananchi nakutokomea nazo bila kazi kufanywa.
Wananchi wanapohoji kampuni husika linasema kazi ipo kwa huyo mtumishi. Ukimfuata atakuambia sababu zisizo za msingi.
Ni miaka sasa kila wananchi hawajapata stahiki zao.
Ukifika Halimashauri watakuambia muone huyo mtumishi.
Ukiongea naye atakuambia kazi imeenda wizarani.
Ukifika Wizarani utapewa jibu la kuwa vibali bado havijaruhusiwa na huyo mpima wa Halimashauri ambaye alikwambia kazi ipo wizarani.
Kama wananchi tumechoswa sana na huyu mtu ambaye ukifika kwake hakuna msaada wowote.
Wizara ya Ardhi tunaomba muangalie hili, ni miaka mitano sasa wananchi wanateseka.
Huyu mtu amekuwa akitumika kwa maksudi kuminya haki za Wananchi kupata Hatimiliki.
Amekuwa akishirikiana na maeneo ya upimaji ambayo baadhi yake yanamilikiwa na walimu wake waliomfundisha huko Chuoni.
Baadhi ya kampuni anazokingia kifua ni KMM. Ambalo lilikusanya ukusanyaji wa pesa za wananchi nakutokomea nazo bila kazi kufanywa.
Wananchi wanapohoji kampuni husika linasema kazi ipo kwa huyo mtumishi. Ukimfuata atakuambia sababu zisizo za msingi.
Ni miaka sasa kila wananchi hawajapata stahiki zao.
Ukifika Halimashauri watakuambia muone huyo mtumishi.
Ukiongea naye atakuambia kazi imeenda wizarani.
Ukifika Wizarani utapewa jibu la kuwa vibali bado havijaruhusiwa na huyo mpima wa Halimashauri ambaye alikwambia kazi ipo wizarani.
Kama wananchi tumechoswa sana na huyu mtu ambaye ukifika kwake hakuna msaada wowote.
Wizara ya Ardhi tunaomba muangalie hili, ni miaka mitano sasa wananchi wanateseka.