NetMaster
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,454
- 4,925
Nina rafiki ambae ni mtumishi wa umma katika shirika mojawapo kubwa tu, hivi sasa kuna mashindano ya freestyle ya kurap yanaendelea na yeye ni mshiriki.
Kuhusu kipaji anacho cha kuchana mistari na anavutia hadhara pale anaposhika kipaza akianza kurap , ubaya ni kwamba kwenye hizi freestyle kuna muda unamshambulia mpinzani wako kwa lugha za maudhi na kebehi.
Je, hii haiwezi kumpa taabu muajiri wake akijua ?