Mtumishi wa halmashauri ya Wilaya ya Kibondo anataka kuhamia halmashauri ya Mpwapa, afanyeje?

EngutanK

Member
Joined
May 3, 2021
Posts
99
Reaction score
244
Wana bodi hebu saidieni,

Huyu mtumishi wa halmashauri ya Kibondo Idara ya Manunuzi anataka kuhamia halmashauri ya Mpwapwa uhamisho wa kujitegemea bila kudai malipo yoyote afanyeje, hajui hata aanze vipi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…